Mambo kama haya huonekana no mama kaamua pekee kumbe Kuna cabinet kubwa nyuma take, akifanya poa inaomekana mama kafanya POA ila akizingua somewhere itaonekana jau Zaid,zingatia ishu ya mikopo ilivokuwa...napendekeza tutumie serikali ime na sio mama ame
Lakn wamekuambia huwez login sabab ya privacy ... Hizo nyingine kama una access hakuna ukosacho, system yetu sisi ni Sims kama ya NIT ambayonhaina kikosekanacho kutokana na access control
Mm nna mwili Mkubwa .. takriban kilo 87 na Sina kitambi, Kuna muda mashine inakuwa kubwa hata ikiwa imelala na Kuna muda mashine inakuwa ndogo ikilala.
Ila ikiinuka Nina wastan mzuri wanawake nawamudu na sjawah mchungulia mtu toi kujilinganisha ..... Mtoa mada ka conclude kirahisi sana , pia...
Mkuu acha hizo...halmashauri gan inamiliki database...mbna mnapenda kuchafua watu, database wanaijua ,mifumo mingi ya serikali kama prems ,gothomis,rgrs,ninya ega...na hakuna database huku halmashauri..mifumo hii huwa Wana access na IP address kutoka majuu huko... Au ulitaka wakushushie SQL Nini...
Huyo alipigwa , Bado sjamaliza chuo katka hii field ila hyo kaz ni ndogo sana kwa hela aliotoa ,Kaz ya miez miwili tu...af kuhus template kazngua...kiufup astukane taaluma...story sjaielewa ...wabongo janj janj sana simuamin kuhus kampun,pengne s yy ila rafk ake au kaskia t
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.