Nilipita hapo June 2020 walikuwepo. Nakumbuka watu wa Kakonko walikuwa positive sana. Tulisimama pale kula chakula
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Huyu Luteni ni smart sana. Maswali mengine anatoa majibu kumdistort Wakili. Tazama hiyo flow utakua alikua wakati fulani anakua superior kwa Wakili.
Najifunza siyo Kila anayefell form four ni mjinga. Na siyo Kila Wakili ni smart kwa mbele ya wikili
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums...
Nimeona wimbi la mapinduzi limeanza upya Afrika hasa Afrika Magharibi lakini kote vinara wa mapinduzi ni maofisa wa Jeshi wenyevyeo vya kati kama Makanali, Mameja na Makepteni.
Tazama Historia na facts.
1. Gamal NASER alipundua Egpt akiwa Kapteni
2. Muamal Ghadafi alipundua Libya kiwa Kanali
3...
Hizi ni picha za makazi binafsi ya Capri point MWANZA. wanakoishi matajiri wa Mwanza. Huu ndo mtaa wa Wazito huwezi Kuta hii Dom wa Arusha. Masaki DsM na Mwaka Capri Point.
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Maelezo yako ni mazuri. Sasa wafundishe vijana wa Kichaga kua hawana umaalumu wowote. Ni sawa na wenzao wayao, Wamatumbi, Nyaturu nk.
Advantage ya kufikiwa mapema na umagharibi siyo kuwa na akili na superiority ni staratigal tu.
Hii myth imesababisha Hadi vita kwa Mataifa mengi Dunia...
Asante. Umenikumbusha vita ya Wameru miaka ya 90 mwanzoni. Ukisali KkKT unauwawa kuwa msaliti. Mpaka kanisa la KKKT likaweka azimia la kuunda Dayosisi ya Meru. Na tangu hapo katika Dayosisi ya Meru haijawahi kuwa na mchungaji Wala Askofu mchaga. Mpaka milele
Sent from my Lenovo L38111 using...
Manispaa zinazoiizidi manispaa ya Moshi.
1. Morogoro
2. Mtwala
3. Zanzibar zipewe adhinya Jiji hizo ndo Moshi ifuate
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Sina inferiority yoyote ila nakupa fact. Wachaga kwa kujipendelea post independence na kuwa pro wakoloni wakati wa wakoloni mkaona ni smart. Sasa mwanga imetangaza nchi nzima manalalama. Historia iko wazi. Nenda CRDB Kimei ilajaza wachaga tu kama ni Mali binafsi.
Tazama hata dhehebu la KKKt...
Kaka. Kilimanjaro Kuna TTC nne za umma.
Kuna chuo Cha Misitu, chuo Cha Wanyamapori, chuo Cha ushirika na vingine vingi vyote vya umma. Wakati Kuna mikoa haina hata TTC Moja. Je Kuna sababu ya ziada taasisi hizo za umma kurundikwa Kilimanjaro. Kama siyo upendeleo. Alafu btwn lines ni kama unaona...
Hakuna kiwanda kilijengwa na zama za Msuya Mwanza Wala Kanda ya Ziwa. Textile nyingi huku ni za late 1969. Viwanda ya mafuta ya pamba ni early 1970 na ilikua program ya JKN.
Msuya anakumbukwa kwa kazi moja tu. Kufanya miradi yote ya Taifa iwe Kilimanjaro na taasisi za umma kuhamishiiwa...
Upendeleo wa Msuya uko wazi. Barabara umeme, vyuo vyote vilijazwa Kilimanjaro. Wachaga ni wabinafsi Hadi kanisani. Tazama ukabila unavyolitafuna kabisa la KKkt
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Zwazwa mawanza Kuna international school Mzee ianitwa Isamilo International School. Google basi
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.