wakuu habari tena kwa mala nyingina, nipo naandaa utaratibu rahisi wa kuwasilisha michango ya kila mmoja, hivo tawapa utaratibu rasmi mda kidogo, tashukuru sana na Mungu awaongezee mtapo punguza, Mungu aniponye , najiskia vibaya sana. Mbarikiwe wote
Majina yangu official ni Revocatus Obote, nina miaka 28 sasa, kitambulisho cha nidaa kimepotea but number ya nida ni 19950609121190000128 pia nasubiri cm iingie charge niwashe camera nipige picha documents zangu, mniwie radhi naandika taratibu sababu natumia mkono wa kushoto
Kaka mshana, habari. i hope uko poa. Nna jambo linanimiza kichwa sana wakati huu nikiwa naumwa bado, hata sielewi nafanya aje, nifungulie pm unitext unishauri jambo mkuu
wakuu habari zenu.
Dah nilipewa majib juzi sema nilikua stressed kiasi hata skuingia online😩
nilikutana na docter bingwa wa mishipa ya fahamu na mifupa, kaniambia wamefanya vipimo vyote , shida ni mbili tu, mifupa iko ok so inahitaji mazoezi tu ya kutosha itakaa sawa ba kunyooka tena japo...
kabisa, kila mtu haamini kama hata niliweza kuamka, cas niliwekewa oxygen nachine hata faham sina, nakuja kufungua macho madocter wanashangaa cas nmekaa 3 weeks kana nmekufa hata nacho sifumbui so ni Mungu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.