kama ulikuwa unamchukia sal mathias teti basi ulikuwa hupendi kusoma. Yule jamaa alisimamia nidhamu ya hali ya juu, na ndio maana baadabya kuondoka watu wakaanza kufeli, kukuwa hakuna tofauti ya tanga tech na jumuiya sec. hahaha
Teti hakuwa dictator mzee, ile ndo calibre ya wakuu wa shule wa ukweli, tungekuwa na wakuu wa shule wa design ile 500 tu, tusingesikia ujinga wa kuchora mazombie kwenye karatasi za mitihani kama siku hizi. Teti alitufundisha nidhamu ya hali ya juu. Nawakumbuka sana na mwlm Kijazi na Mjema. Sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.