Search results

  1. kianja kyamutwara

    Aoteshwa kwato za Ng'ombe na mkia baada ya kutuhumiwa kutembea na mke wa mtu

    kuna kaudanganyifu flani ila mkia mbona unachezacheza?
  2. kianja kyamutwara

    Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

    polepole kupewa ubaloz inaweza kua ndo kafukuzwa tiyar, maana akimaliza mdawake tu bas anarud kulima
  3. kianja kyamutwara

    Maandamano makubwa ya kunusuru Hifadhi ya Ngorongoro

    mshambuliaji kakumegea kidogo sibure
  4. kianja kyamutwara

    Nahitaji fundi wa kuezeka Bunju

    weka mawasiliano yake tubonge nae ili tufanye kaz na kama kuna kazi ambazo ameishafanya ni vizur ukatupia ili kujenga imani maana mafundi wengine shida unamleta anakuambia mm nikonk akishaharibu nduki hao hapana
  5. kianja kyamutwara

    Nahitaji fundi wa kuezeka Bunju

    kama mada ilivyo, Ninaitaji fundi mzuri wa kuezeka nipo Dar Bunju kama yupo humu nicheck PM tuyajenge
  6. kianja kyamutwara

    Mfumuko wa bei Zanzibar sasa imekuwa gumzo. Ni wakati sasa Rais Dkt. Mwinyi kujitafakari

    hata bara vilevile nchi imewashinda hawa mbogamboga
  7. kianja kyamutwara

    Mvua maeneo ya Dar es Salaam, sitashangaa kusikia watu wanalalamika

    mpaka mda huu mvua ipo inapiga yaan kiufupi mambo mawili mvua na jua havina kias kwa dar ikitokea jua linaunguza kama nn na mvua ikipiga mpaka mafuriko acha tulalamike buana.
  8. kianja kyamutwara

    Kwanini kauli zake sio za kweli?

    kwaiyo populationi watu milioni 50 humo kuna watoto, wazee, walemavu, n.k halafu hiyo 24m itatoka wapi usimtetee huyu aaminiki tena mm tangu amesema jamaa yupo na mafaili baada ya siku nikaona gwaride sina hamu nae
  9. kianja kyamutwara

    Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

    ninakueleza haya kwasababu niliajiriwa na kuacha na sasa mm ni mtu huru. ilikua inanirazimu kuamuka saa kumi na moja nijiandae ili angalau saa moja niwe kazini kutokana na usumbufu wa foleni za dar ilikua kila siku kuanzia saa mbili mpaka saa moja nipo kazini kwani kulingana na kazi yangu wakati...
  10. kianja kyamutwara

    Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

    tuliza kichwa utajua kujiari na kuajiriwa kipi bora kuajiriwa ni utumwa hatari sana usiniambie
  11. kianja kyamutwara

    Kumbe wenzetu ngozi nyeupe wanaendesha teknolojia kwa uchawi, leo nimeshuhudia kwa macho yangu

    na sio kutumia kwa maendeleo tu, waafirika uchawi wao ni wausiku wakati wenzetu wanauaply mchana kweupe. ila swala la uchawi upo huwez tengeneza ndege ipae kama si uchawi kwa kivuli cha sayansi.
  12. kianja kyamutwara

    Tozo zetu hazifanyi kazi tulizoambiwa

    utatwanga maji kwenye kinu, ccm ni ilele milele na milele amina, jitaidi kupaza sauti mahaili ulipo tupate katiba mpya tuweke viongoz watakao sikiriza wanainchi kama waajiri matatizo yote hayo yataisha.
  13. kianja kyamutwara

    Tanzania haitokaa iendelee milele hata mfanyeje

    maendeleo tutayasikia kwa akiri hiz za viongoz mtu kwenda uk watu nikusifu kutwa nzima kila kitu kiki utatokaje hapo
  14. kianja kyamutwara

    Je, wajua hakuna ukweli, ni mawazo yako tu

    milembe inakuhisu maana hata naniliuu alianzaga hiv
  15. kianja kyamutwara

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    wamachinga na bodaboda wakikusikia wanakula kichwa yako!
  16. kianja kyamutwara

    Asante Mh. Jaji Siyami kwa kuwaumbua CHADEMA; wanampa Mbowe tu maji na kuwanyima walinzi wake huku wakiwa wamejazana mahakamani

    Chadema ndo wanahusika na ulaji wa watuhumiwa /mahabusu? Au ni serikali? Alisema hivo kwani hata huduma ya chkula walikua hawapati wawapo mahakamani hivo hajaubua chadema bali aliiumbua serikali.
  17. kianja kyamutwara

    Kosa kubwa alilofanya IGP Sirro katika tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe, ambalo linaweza kuleta fedheha mbaya kwake binafsi, kwa Polisi na Tanzania

    Hamna kes hata wakihukumu ukweli ni kwamba kes imebubwa na niselikar imeaa mua kwa manufaa ya wachache.
  18. kianja kyamutwara

    Police General Orders(PGO) ni nini, nitaipata wapi?

    PGO trending in bongo, yaan hili dubwasha hakika polis watalia nalo maana sasa watu wamelijua halikuwai kujulikana na polic kwa sasa wanajuta kuchokonoa kes maana kila mtu atakaye kamatwa ataaulizwa pgo[emoji23]
Back
Top Bottom