Rasimu inasemaje juu ya hoja ilokuwa ikitololewa na baadhi ya wananchi kwamba Mawaziri wasitokane na Wabunge? Mzee Warioba hajazungumza lolote juu ya hilo.
Nami nimeshuhudia hilo. Ila mambo mengine bwana, inabidi kucheka tu! Hapo hapo kwenye Home page ya Ubalozi wa TZ Marekani pana ka-title ka Regional Corporation, ukienda kwenyewe unakuta title bado ni hiyo hiyo Regional Corporation lakini ukisoma content unaona Kinachoelezwa ni Regional...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.