Habari zenu wana jamvi.
naomba tujadili ikitokea kwamba mtoto wako anataka kuoa/kuolewa lakini umegundua kuwa mzazi wake mmoja alishawahi kuwa mpenzi wako je utaruhusu mtoto kuoa/kuolewa? na je utakubali huyo mpenzi wako wa zamani awe mkwe wako.?
Namtafuta rafiki yangu nimepotezana naye kama miaka miwili hivi na kwa bahati mbaya namfahamu huyo rafiki yangu kwa jina moja tu, sijui anapoishi ingawa yupo dar na alishawahi kunielekeza kwake kwamba unashuka kituo kinaitwa sayansi ila baada ya hapo nimesahau unaelekea wapi mana sikufanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.