Search results

  1. K

    Mdee na wenzake wakiomba msamaha nashauri wasamehewe

    Wadau wa JF habari! Kama ikitokea hawa wanawake wakatambua kua wamekosea na kuomba radhi nashauri wasamehewe. Jambo hili limetukwaza wengi ila kama watakiri makosa wasamehewe na tuwapokee. CCM iliweza kuwasamehe kina Sophia Simba. Jesca Msambatavangu na wengineo hivyo...
  2. K

    Uchaguzi 2020 Kuna Mgombea wa Ubunge kafanyia Kampeni Kanisani

    Ni Ramadhan Ighondu wa Singida Kaskazini. Alifanya hivyo jana katika kijiji cha Mangida kata ya Msange katika kanisa la FPCT. Je, hii inaruhusiwa na sheria za uchaguzi?
Back
Top Bottom