Wadau wa JF habari!
Kama ikitokea hawa wanawake wakatambua kua wamekosea na kuomba radhi nashauri wasamehewe. Jambo hili limetukwaza wengi ila kama watakiri makosa wasamehewe na tuwapokee.
CCM iliweza kuwasamehe kina Sophia Simba. Jesca Msambatavangu na wengineo hivyo...
Ni Ramadhan Ighondu wa Singida Kaskazini.
Alifanya hivyo jana katika kijiji cha Mangida kata ya Msange katika kanisa la FPCT.
Je, hii inaruhusiwa na sheria za uchaguzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.