Kitendo cha mgombea wa urais kupitia chadema kuomba mdahalo na jemedari wetu Magufuli kimezidi kumpoteza kwenye ramani. Najua yupo busy na kampeni naomba wafuasi wake mliopo hapa jamvini mnijibu maswali yangu.
1. Baada ya kuzunguka sehemu mbalimbali ndani ya nchi akifanya kampeni, je Lissu...
Nimekuwa nikiona baadhi ya members wakipiga sera na ahadi za Gwajima anazozitoa kwa wana Kawe kuwa hazitekelezeki kwa kigezo cha kushindwa kujenga jengo la kanisa lake.
Tukija upande wa pili tunaona pia CHADEMA nao wameshindwa kujenga jengo la ofisi yao kwa miaka mingi sana zaidi ya kuendeshea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.