T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Kitendo cha mgombea wa urais kupitia chadema kuomba mdahalo na jemedari wetu Magufuli kimezidi kumpoteza kwenye ramani. Najua yupo busy na kampeni naomba wafuasi wake mliopo hapa jamvini mnijibu maswali yangu.
1. Baada ya kuzunguka sehemu mbalimbali ndani ya nchi akifanya kampeni, je Lissu ameona watanzania hawajamuelewa mpaka aombe kufanya mdahalo?
2. Anaposema mdahalo ufanyike kwa lugha yoyote je hajui kama kiswahili ndio lugha ya taifa? Na mdahalo usipofanyika kwa kiswahili aoni kama atakua hawatendei haki wapiga kura wake ambao hawazungumzi iyo lugha itakayotumika?
3. Anaposema kama jemedari Magufuli akikataa kufanya mdahalo itabidi tujiulize usomi wake, tangu lini mdahalo umekua ndio kipimo cha usomi wa mtu?
Aya kazi kwenu wafuasi wa Lissu kunijibu baadhi ya maswali yangu.
Ila msishau kuwa Magufuli kashaonesha uwezo mkubwa kuendelea kuongoza nchi kama rais na kufanya kampeni kwa wakati mmoja.
1. Baada ya kuzunguka sehemu mbalimbali ndani ya nchi akifanya kampeni, je Lissu ameona watanzania hawajamuelewa mpaka aombe kufanya mdahalo?
2. Anaposema mdahalo ufanyike kwa lugha yoyote je hajui kama kiswahili ndio lugha ya taifa? Na mdahalo usipofanyika kwa kiswahili aoni kama atakua hawatendei haki wapiga kura wake ambao hawazungumzi iyo lugha itakayotumika?
3. Anaposema kama jemedari Magufuli akikataa kufanya mdahalo itabidi tujiulize usomi wake, tangu lini mdahalo umekua ndio kipimo cha usomi wa mtu?
Aya kazi kwenu wafuasi wa Lissu kunijibu baadhi ya maswali yangu.
Ila msishau kuwa Magufuli kashaonesha uwezo mkubwa kuendelea kuongoza nchi kama rais na kufanya kampeni kwa wakati mmoja.