Namwangalia Mh.OLE Sendeka TBC1,hivi ni kweli Wabunge wa CCM wanadhani Watanzania bado ni wa Miaka 70 WASIOJUA nini wanakifanya?Cuf nao wanavuna matunda ya ndoa yao ndo maana wanalalamika.CCM na CUF ,jadilni hoja iliyopo mbele yenu,ndo tunachokitaka watanzania na sio kuijadili CHADEMA,maana hata...
hivi,upi ni usemi sahihi,kwa mfano ukikaribishwa kwenye nafasi fulani uongee,Kutumia maneno"Napenda kuchukua nafasi hii" au "Napenda kutumia nafasi hii"?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.