Kwa jina naitwa Michael Luoga (chuma masofa ) mzawa wa Songea mkoani Ruvuma
Mimi ni mtoto wa kwanza wa familia ya watoto 5 mimi ni mtoto wa familia ya kipato cha chini nimezaliwa mwaka 2000 nikapata elimu ya msingi katika Shure ya msingi madizini Songea mwaka 2015 nikahitimu na mwaka 2016...
Kuna sababu nyingi lakini nitakuelezea kwa uchache tu
1. Biashara ya kujenga inahitaji mtaji mkubwa hivyo basi uwa utajenga sehemu ya biashara kwa rengo la kutunza fedha na ndani ya Hiro iyo fedha yako aitolud kwa wakati unao uhitaji wewe bari uchelewa na ivyo basi ukipangisha amna kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.