Search results

  1. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Duh kwanini aisee wakati sisi hiyo Kuna wengine ndo tunasikilizia kinomanoma
  2. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama ni hizi written za online eneo utaandikiwa kwenye akaunti ya ajira portal utaandikiwa venue kulingana na address Yako ..na Huwa hawachelewi kama umeshaitwa bhs subiria siku tatu ama nne ukitembelea kwenye akaunti yako utaona tu venue .. Asante
  3. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Leeoo shwaaaaaaaa🤣..usiku Mwema
  4. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huyu mm sijuagi nn ana kitakaga ..sidhani km ni msakatonge ..pengine ni mtu upo kutuchora tu apa .. maana huu ujinga unafanya Kila siku sijui nn unachokitaga
  5. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari ! dada mtu kama unatips muambie tu maana watu tunatofautiana..lakini pia haitamsaidia hata mm pia Ambae sijauliza 🏃😁
  6. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Akili yake pia inaweza isiwe sawa ..
  7. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    We jamaa unakuwaga na shida gani ??
  8. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante nashukuru kwa taarifa ..
  9. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari za Saizi jamani ? Naombeni kuuliza ndugu zangu mm hapa nimeitwa usahili wa mchujo utafanyika hapo kesho kutwa Sasa Sina kitambulisho Cha NIDA kwa sasaiv na ninacho Cha kura lkn hakifanani mwaka wa Kuzaliwa na cheti Cha Kuzaliwa naona kama nikionyesha pale nje kabla ya kuingia kwenye...
  10. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwahiyo kesho ndo mfumo wa online unaenda kuanza sio ??
  11. FRANCIS MNGUMI

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nashukuru sana kwa ujumbe huu na mm ndo nilikua najiuliza Sasa apa ..hii aptitude test imekaaje maana Ile ya takukuru ilikua very technical mzee 😂😂 yani ukienda kichwakichwa unakandwa ..Bora watoe kwenye kada husika na pia kulingana na Majukumu ya kazi itakua poa Sana ..
  12. FRANCIS MNGUMI

    TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

    Ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu .Hakuna kitu kibaya kama kukosa uchungu wa kuipigania nchi Yako ..wenzetu wa china wametushinda hapo tu ..
  13. FRANCIS MNGUMI

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status : JOB SEEKER. Professional : AGRONOMISTS Experience : 2 YEARS Education level: BACHELOR DEGREE Location : KOROGWE,TANGA Regards..
  14. FRANCIS MNGUMI

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Duh yani nilisubiria nafasi iyo sana yani ..afu nasikia Kuna watu wanazichezea inauma sana
Back
Top Bottom