Thats too dangerous method to obtain information. remember kuna kitu kinaitwa PRIVACY. u should be undercover and MAINTAIN YOUR Confidential Items....please go to yellow pages, the directory will give u wat u need.
wabongo bana...kwani nyie hamjawahi kula bata? kwani ye akila bata we unahusu nini? mwacheni bana amle bata wake nyie niaje?
Kosa mkifanya nyie hamuoni akifanya yeye mineno inawatokaaaa!
Mjini shule ndugu zangu.. mi nashauri kuwe na REGULATORY AUTHORITY ya hawa jamaa wa Job Searching Agents (madalali wa kazi) coz wengine Bosheni tu.. mtu anakaa chumbani na ki laptop chake anatengeneza tangazazo na kilipost hewani. Nimeishi Arusha but hamna k2 kama kibacha sijui upuuzi gani. then...
pipo mnaleta stori na bifu za klauzi na thugu humu ndani.....EM TOKENI HUKO, Kabishaneni Vichochoroni, 2mechoka upuuzi wenu wa Na umamluki sasa. Badala kukaa kufanya ishu za maana mnafata mikumbo 2 ya clauzi na Thugu...
hello.!
jamani wana Jamii wenzangu mi naomba niulize kitu, Hivi mtu unavoomba kazi si unataka Kazi then at the end wakulipe Mshahara? IN SHORT NI KWAMBA TUNAOMBA KAZI ILI TUPATE HELA. sasa nashangaa, kuna sehemu moja walitangaza nafasi za kazi, then watu tukatuma maombi yetu, baadae tukapigiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.