Wengi wao wamereact kwa sababu ya udini walionao yani hawa watu wako sensitive na dini yao utadhani dini ndio tiketi ya kufika mbinguni wakati wataiacha hapa hapa duniani
Unaweza kuwa sahihi au sio sahihi,lengo lilikuwa sio baya tatizo liko kwa wafanyiwa 😊wako very sensitive na dini yao wenyewe 😀😀😀 utadhani itawapa ufalme wa mbingu kumbe ni mambo ya duniani tu
Maombi... Mungu ndio kila kitu tulipona kwa sababu tuliamua kuanza na Mungu kabla ya kuanza kuhangaika na ventilator barakoa etc etc...Mungu akasikia maombi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.