Wakuu salaam,
Natumaini mapambano yanaendelea.
Ninaomba kuelimishwa mambo yafuatayo katika kilimo cha maharage msimu huu.
1.Jinsi ya kupanda kwenye matuta au Sesa
2.Busta nzuri inayofanya vizuri kwenye maharage,hapa naomba mwenye kujua zaidi kuhusu hizi busta ambazo zinafanya vizuri maana hapa...
Watanzania tuache ushamba, kama umeamua kuongea kiswahili ongea kiswahili sasa unachanganya taka taka kwenye chombo kimoja ndio Nini sasa? Aya tumejua umesoma. Ushamba ni mzigo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee waha na warundi ni watata yani ni wabishi balaa.Ukitaka moto wewe anza kuzungumzia kuhusu mambo ya uraia uone moto wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Wakala ni mmoja tu yule mwamba ndo miamala yote utapata pale Tigo,voda,halotel na airtel money. Kwa upande wa mazao hapo namba 4 labda ufanye kituo cha ukusanyaji maana mashamba yako pembezoni,kwaiyo wakulima wanatoa huko wanaleta pale au wewe uwe unafatilia kule shambani.
Mkuu unanikumbusha nilikuwa nikenda kwa wakala pale kutoa pesa yule wakala maalufu na mfanya biashara maalufu pale kijijini yani yule jamaa dukani kwake kila kitu unakitaka dukani kwake utakipata.Basi ukienda kutoa pesa utachukua namba ya wakala unaenda kutegeshea kwenye kichugu flani then...
Mkuu unanikumbusha nilikuwa nikenda kwa wakala pale kutoa pesa yule wakala maalufu na mfanya biashara maalufu pale kijijini yani yule jamaa dukani kwake kila kitu unakitaka dukani kwake utakipata.Basi ukienda kutoa pesa utachukua namba ya wakala unaenda kutegeshea kwenye kichugu flani then...
Unajua Papa Gx haya maisha kujitoa muanga tu,na furusa za kutoboa ambazo hazina ujanja ujanja zimebaki kwenye kilimo ndugu zangu yani mjini kumeshabana na kutoboa sio kama unavyofikiria wewe zaidi ya kusifia matajiri na kuwanyenyekea wenyewe wanaita Chawa.Yani ukubali kudhalilishwa na mtu alafu...
Kama ni mkulima ambae bado unajitafuta na kutegema mvua,nakushauri njoo Katavi hadi Rukwa huko yani mvua sio za kubabaisha wala kuwa na mashaka.Ukiona mikoa mingine mvua zimekuwa za shida mwaka huo basi kwa mkulima wa katavi kwake ni neema kubwa kwani uwezo wa kuivisha mazao upo.Yani katavi bado...
Hahahaha mkuu umenitonesha wakati Niko kule porini nimepiga sana ela za wasukuma yani unakuta amechezea simu na amefunga mtandao hapati mawasiliano anakuja kwangu utaskia vp bwana Ngosha na Mimi niambie bwana Ngosha maana walinizoea sana na walikuwa rafiki zangu sana. Utaskia simu yangu...
Uko lubalizi sikuwai kufika ila kujamaa wa pale mwese alinipokea, uyo jamaa mashamba yake yapo uko lubalizi wakati wa msimu wa kilimo akienda kupiga Kambi uko kufanya kilimo Yani hapatikani tena hadi yeye akutafute.Na mtandao anasema Hadi apande mlimani. Mwese inavituko, wachaga wa mwese na...
Mkuu usihangaike, Mimi ndugu yangu wa karibu mke wake aliteseka sana na kitu kama iyo na matokeo yake alikuja kupona Kwa hii kitu. Kuna mdau hapo ameongelea kuhusu kitungu swahumu, hii ni tiba nzuri sana Kwa watu wenye tatizo Hilo. Njoo pm nitakuelekeza Kwa mama mmoja anazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.