1. Je kamishina wa kodi alishawapa certificate ya kutolipa kodi?
2. Kuna kodi zinazotokana na mishahara, je ilikuwa inapelekwa ipasavyo na complience za SDL na PAYE returns
3. Wafadhili wanapotoa pesa na St. Jude hainufaiki na chochote tofauti na elimu inayotoa
4. Hakuna wanafunzi wengine...
"Spika Ndugai muogope Mungu,usilete utani katika maisha ya Mh Lissu, umeliongopea bunge na umma , gharama zote za ndege zimelipwa na CHADEMA na Watanzania. The parliament deserve better than you!"- Mh . Msigwa Nairobi.
Yote yanawezekana Huyo mbunge wa CCM kutoa pesa na kuandikwa mbowe kwenye...
Mwisho, kwa kuwa polisi wamekiri "kutrack" mawasiliano ya huyo banker na kujua alikua anawasiliana na hao majambazi, ni kwanini "wasitrack" pia mawasiliano ya Bashite maana imedaiwa kwamba alikua anawasiliana na watu waliomshambulia Lissu? Hawaoni kuwa hii itasaidia upelelezi na kuwajua wahalifu...
Hili swala la escrow limefanya kila mtu anayejisikia kusema lake basi analileta humu ndani na sisi nao tunakurupuka tu tunaanza kushabikia....
haya tetesi. Kikwete kulivunja bunge baada ya sakata la escrow kuonyesha dalili za kuiangusha serikali. no source no what, mambo yakufikirika tu.
Hapo kwenye blue. kwani wewe chadema ni ya familia yenu uendelee kuwepo,ondoka wewe kama unakereka naye.kwanini ujipe taabu wakati ukiondoka chama hakitakufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.