Achana na hayo, kuna CHANJO eti tume ya wataalamu wa bongo wamesema ni salama, sijui wameitest kwenye maabara gani, mimi huwa nawaangalia halafu nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha...
Mada imenikuna hii, mwanamke ni mwanamke tu, 2025 tusimamishe mwanaume, na tusirudie kosa kuweka makamo mwanamke, hivi kweli mwanaume anampigia saluti mwanamke?
Tunakuwa kama hatujafunzwa adabu? Hii ni bahati mbaya ilitokea ila baada ya kumaliza miaka ya urithi arudi kwao akalee wajukuu.
Mheshimiwa Samia tambua kuwa wanao tumia YouTube sio askofu Gwajima na Polepole pekee, uamuzi wenu una athiri vijana wengi sana wanaojitafutia kupitia mitandao hii.
Mwisho nawaombeni muwashe VPN kuendelea kupata YouTube ila mnaelekea kufeli mapema sana. Mlifanya vyema kufungia mitandao ya ngono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.