Wasanii wanapenda kiki Sana ndio tatizo Mana haoni jamani kioo Cha jamii yake, kazi ni kuposti uchonganishi na sio kuelimisha watu, ukiwa hujui kutumia mitandao uliza watu watakusaidia sio kujichukulia uamuzi, we should be careful to our post
Kujua takwimu sio ndio kuishinda Corona bali ni kifuata taratibu na maelekezo ya serikali ili kuepukana na Corona.
Hivi takwimu hujui kama zinaleta hofu pia Mana watu watazidi kuogopa na kushindwa kuendesha shughuli za maendeleo ya familia na taifa,Mungu ibariki Tanzania
hapo ndio balaa lakini ukiwana maarifa na msikivu lazima utajilinda na COVID-19, Najua inawezekana Sana msiwe na hofu, mwanafunzi wa chuo atatumia ukubwa na maarifa yake kujilinda, MUNGU IBARIKI Tanzania, Ameeen
Soka linahitaji umakini Sana la sivyo itaonekana Kama ni kutwanga maji , ata Kama ni nani aingie uongozini pale TFF kinachotakiwa ni kuweka Sera ambazo zitaifanya shughuli za michezo kuwa juu, ujuzi ndio Cha maana
Jamani sio ivo , inahitaji uadilifu na. Uwazi tu na sio janja janja tu, kila kitu kizuri kina gharama zake, ukiona Spain inacheza soka Safi jiulize waliwekeza miaka mingapi kuwa Bora na sio kufanya maandalizi ya Zima moto, lakini kwasoka la vijana TFF wamejitahidi Sana kwa kiasi kikubwa#mpira ni...
Siku zote fikiri alafu ndio upate muda wa kuandika, ivi tujiulize sisi Kama raia wa Tanzania tumeifanyia mangapi mazuri serikali zaidi ya kulaumu tu?, Unataka serikali ikufanyie jambo zuri lakini umeshawaza wewe au mimi ume/nimeifanyia mangapi serikali ili niweze kuilaumu!, What's ideas do we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.