Vikao vingine vipunguzwe, kubana matumizi ya serikali. Fedha zielekezwe kwenye sekta za msingi kama mafuta ili kupunguza gharama za maisha. Vitu vingine vinahitaji maamuzi magumu kama ya Jiwe, mfano, fedha za kukimbiza mwenge nchi nzima zipo ila fedha za kustabilize bei ya nishati hakuna. Fedha...
Inabidi kwanza tuwajengee viongozi wetu mila na desturi ya kufuata na kuiheshimu katiba. Fikiria tu hata katiba iliyopo japo sio nzuri sana lakini haieshimiki kabisa. Angepatikana mmoja wa Demo Kama Suwboofer akapelekwa kula soya segerea, assuredly akili zingewarudia.
Simply Hii project ni wasteful expenditure. Haiwezekani baadhi ya shule up to date wanafunzi wanakaa chini then serikali inapata wazo la kutumia mamilioni kutengeneza sanamu ambayo ni useless. Matumizi yafanyike kwa kuzingatia priority ya ustawi wa wananchi kwanza and not any otherwise!
Lazima Tusimame na Mama kwani kwa muda mfupi sana ameweza kutufurahisha! Hatukuwahi kuamini Bongo, kama ofisi ya DPP inaweza kusimamia haki. Ila utawala wa Mama umethibitisha kuwa yote yanawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.