Kuchukua ubingwa msimu ujao au misimu kadhaa ijayo, lazima tujenge timu yenye ushindani mkubwa, kuna wachezaji hawafai kamwe kuendelea kuichezea chelsea
Barkely, keppa, Rudger, Batshuayi, Azipucueta, Alonso, ermason, Jognho
Wachezaji matakataka ya kubaki sub
Odoi, L.Cheek, Tammy...
Kuna watu huku hawastahili kabisa kuwa mashabiki wa Chelsea bali New castle, West ham. Shabiki mzima unaropoka Barkely mchezaji wa kutegemea Chelsea, kwahiyo tukikutana na city, man u, Bayern, Liver Barkely ashikishwe ukuta?
Kuna haja ya kuhide comments za wapumbavu wachache hapa, nisione hizo...
Ficha ujinga wako kiungo mshambuliaji wa kumtegemea?
Man city watasemaje kwa KDB?
Man u watasemaje kwa Bruno?
Yaani ubingwa uchukue kwa kumtegemea takataka Barkely? We jamaa mpira unaujua sawa sawa?
Jitoeni ufahamu tuu mchezaji yeyote ambaye yuko kwenye mapendekezo ya kuuzwa kama Barkely na wanaomaliza mkataba wao kama willan huwa wanawasha moto sana kuwashawishi waajiri wao wasiwauze au waongezewe mkataba na zaidi kuzivutia timu kubwa sokoni wanunuliwe.
Barkely huyu akibaki msimu ujao...
Hizo sajili kubwa zinazoendelea kufanyika, zitakuwa kazi bure kama tutaendelea kuwa na Lampard kocha asiyekuwa na mbinu wala ubunifu.
Lampard ni overrated hadhi yake ni championship, uwezo wake mdogo sana kuliko Arteta na OGS.
Wachezaji wanashinda mechi kwa juhudi zao binafsi, Lampard kupanga...
Hajifunzi kitu huyo kichwa box, msimu ujao mkopo utamuhusu au atapigwa bei, hana sifa wala uwezo wa kuendelea kuitumikia the blues. Aende huko championship akabambiane.
West ham ametufunga mara mbili home and away. Tatizo la Mashabiki wengi wa Chelsea ni oyaaa oyaaa. Hatujui kuchambua mpira, mifumo, wachezaji, historia ya timu, future plan za club. Tunaenda kama mang'ombe tuu.
Bro kinachotuuma sisi ni mbinu duni za Lampard angalia kikosi cha Everton na pia angalia mbinu za Ancelotti.
Kocha lazima uwe na mbinu tofauti tofauti kwendana na mechi inavyokwenda. Lampard mbinu zake ni flat kwenye game nzima.
Ule mpira wa Aston villa na Leicester ulikuwa wa hovyo, wingi wa...
Hatuna kocha hapa, kocha hana mbinu kabisa, mbinu zake za kitoto sana, upangaji wa kikosi utoto mtupu, Anakatisha tamaa sana, Man u nusu fainali anatushikisha ukuta tena.
Nikiongea hapa mnasema capital letters zinaumiza macho
Mara ngapi nimekuwa nikisema Lampard ni kocha kiazi? Kwa mbinu zake anafaa kuwa kocha wa championship
Mara ngapi nimekuwa nikisema Abraham ni kichwa panzi? Anacontrol mpira kama mama mjamzito.
Timu imeoza imejaa wachezaji matakataka...
OOOH ABRAHAM BADO MDOGO APEWE MUDA ATAKUJA KUWA BONGE LA STRIKER, HIZI KAULI ZA KIPUMBAVU SANA
DOGO GREENWOOD WA MAN U ANAKIPAJI KIKUBWA SANA KULIKO KICHWA PANZI WETU ABRAHAM.
GREENWOOD ANA MIAKA 18 TUU LAKINI UKIMUANGALIA ANAVYO CONTROL MPIRA, ANA JICHO LA KUONA ANGLE GANI YA KUFUNGA GOAL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.