Hivi wadau hizi nyimbo za Msanii wa kipindi cha vituko show cha channel 10 (kundambanda zinarushwa kweli hewani ? ) naomba mnijuze , nina nakala 5 lakini nawapa moja wanajavi msikilize.
Hakuna cha kujadili, nimemsikia naibu anasema wamalize jioni swala la Africa Mashariki na kesho wapumzike.
Nashangaa kwa nini mwongozo wa Mnyika wasijadili kesho. hili taifa linaenda wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.