Nataka Note 3 na Note 4 za 32GB na ziwe na uwezo wa 4G utaniletea kwa bei gani maana nataka compare ni kiagiza kwako na nikiagiza from China wapi nitasave.
Full vibali
Full ac
Engine mpya haina tatizo
Haigongi chini
DVD/Bluetooth Music
Luxury seats
Perfect in every way
Bei 6.5 million
Kwa maongezi zaidi
0716398757
Harrier Old Model
2990cc
6 Cylinder
180,000km
Silver/ Grey Color
TV
Full Ac
Vibali vyote vimelipiwa
Matari yanafaa kwa safari ndefu
Engine safi haisumbui wala kuvuja
Automatic
5.9 million
0716398757
Exchange pia ina karibishwa.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Hayo maswali nilishayajibu mkuu ila labda ni ya jibu tena. Kwanza nianze kwa kushukuru kwa hio link na maelezo hapo tatizo tuu ni kwamba kwenye hio link nimeshindwa elewa vitu vingine maana uelewa wa mambo ya IT sina sana.
Majibu ya maswali yako ni haya hapa.
1. Niko Dar es salaam, Mbezi...
Daaaah sina box lake mkuu ila inavoonekana haikutengenezwa kwa ajili ya matumizi ya Kiafrica au Tz sema sasa ndio how do i change that to 3G ndio shida yangu
Yeah inawezekana mkuu japo hamna sehemu yoyote kwenye simu inayo onyesha ni made under T-mobile, At&T au Verizon mitandao mikubwa ya simu huko nje lakin sasa how do i overwrite this ili iweze soma 3G.
Sio tatizo la line wala eneo mkuu nishajaribu hivo vyote mpaka nilipogundua kwamba hii simu ipo programmed kusoma 2G(Edge) tu. Angalia hii about phone hapo chini hapo kwenye Mobile Network Type imeandika EDGE.
Ndo maana nimeomba msaada wenu kama kuna ujuzi wowote wa kuiwezesha iweze soma 3G...
Nahitaji msaada simu yangu ni Note II orignal lakini imekuwa programmed kupandisha 2G(Edge) network only wakati ukienda kwenye network options unakuta inaweza pandisha hadi 4G na 3G/ WCDMA ila ukichagua hizo haisomi mtandao kabisa.
Sasa tatizo langu ni jinsi gani naweza ifanyaa iweze soma 3G...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.