Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
Nimechanganya mdaladini,hiliki,karafuu,pilipili manga kidogo Kisha nikatwanga nikafungia kwenye kopo.wakati wa kuandaa na chemsha maji tuu hatimae naweka kwenye chupa ya chai na huo mchanganyiko ili kuhifadhi ladha na harufu yake ya asili.
Sina hakika,lakini Ni Jambo jema maana anaepuka surprises.waswahili wanasema Bora nusu Shari kuliko Shari kamili lakini hata mzee pia anaweza kuitumia kwenye issue zake za siri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.