Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.
Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu
Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na...
Habari wanajamvi naamini humu wapo wajasiriamali waliojikita katika biashara ya furniture ama useremala.
Nahitaji:
Kitanda, mbao ya mkarati, kiwe futi 6 kwa 6
Kabati la milango mitatu, mbao mkarati
Dressing table mbao mkarati
Kwa yeyote ambae anabiashara hii nifate inbox au post namba yako ya...
Assalam alykum
Natafuta mwanamke wa kumuoa awe muislam ana maadili mazuri ya kiislam.
Umri wake kuanzia 23 hadi 30.
Mi ni mwislam umri wangu 30
Nimeajiriwa
Naishi Dar es salam
Aliekuwa tayari ambae yupo serios inbox me tufahamiane.
Narudia mwenza lazima awe muislamu
Nahitaji mwanamke ambae anajielewa wa kuanza nae urafiki hadi kuwa wachumba. Na siku za mbele tuweze kuwa wanandoa
Sifa zangu
Ni muislamu
Umri wangu 30
Ninaishi single
Sina mtoto
Sifa za ninaemuhitaji
Mwanamke mwenye tabia za kike
Awe muislamu kama mimi
Umri wake kuanzia 21 to 26
Awe hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.