Habari wakuu,
Nina kijana anahitaji kusoma masuala ya ufundi anapenda hasa masuala ya bomba yupo kanda ya ziwa na nikaona Chato ni karibu zaidi lakini mpaka sasa sijui utaratibu wa VETA hii uko vipi kupokea wanafunzi mwenye kujua tafadhari naomba msaada hasa watu mlio karibu na VETA hii ya Chato.
1. Professa Jay
Je, ni kweli ana degree hata moja?
2.Afande Sele
Je, amewahi kuwa hata mgambo?
3. Luteni Kalama
Cheo kikubwa sana nafikiri polisi au jeshini?
4. Inspector Haroun
Je, amewahi kuwa hata polisi wa kawaida?
5. Mheshimiwa Temba
Aidha mbunge, Au waziri
6. Imam Abbas
Nafikiri kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.