Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi machoni, wala asiye mzembe wa kufikiri, anaalikwa asome kwa uangalifu na azingatie makala hii na...
Wadau mimi ni mpenzi sana wa gazeti la mwananchi hiyo inatokana na umakini wa habari zake. Lakini tangu ndugu Kafulila atoke Chadema hawa ndugu wa gazeti la mwananchi naona wamepata dili! kwani hakuna gazeti wanalotoa bila kajihabari kanakohusu Chama Cha Chadema. Kwa upeo wangu mimi naona...
Mini naona Makamba atakiwa ashauriwe kupumzika kwani wakimuacha aendelee na huo wadhifa wake 2010 CCM watakuwa na wakati mgumu sana! hao matajiri anaosema wako wangapi? je masikini wanao changia kuku wakigoma kuchagua CCM huyo muhuza sura wake (Kikwete) atarudi ikuru? Labda huyu Ndugu Makamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.