Nakumbuka miaka ya 2005 mpaka 2010 Dr. Wilbroad Slaa akiwa Mbunge aliwahi kuwekewa vifaa vya kunasa taarifa zake chini mwa uvungu wa kitanda...sasa Mbowe kuwa makini na hilo gari lisije wekwa vifaa vya kukusanya taarifa zako.
FBI na Scotland Yard watatumia satelite zao na kubaini hao wauaji. Wataonekana walitokea wapi, na baada ya tukio hilo walielekea wapi. Ruhusuni upelelezi huru ili hawa waovu waje kujulikana.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mwaka jana, 31 March 2014, Askofu mkuu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zackary Kakobe, aliandika barua yenye ujumbe wa Mungu juu ya anguko la CCM mwaka 2015....huyu alitabiri na yametimia.
Lowassa ni mfano wa Jiwe lililokataliwa na waashi (CCM) na sasa jiwe hilo linaelekea kuwa jiwe kuu la pembeni katika kuimarisha maendeleo ya uchumi katika nchi hii....kwa kuwa ni mtu mwenye maamuzi magumu...
Ma box ya pembeni yasikutishe mkuu, nimejaribu kufanya analysis kwa kulinganisha mwaka wa fedha wa budget uliopita (2013/2014) na mwaka huu tunaoenda kuuanza wa budget (2014/2015) kwa kuonyesha ni kwa jinsi gani punguzo la asilimia 1% linatoa ahueni kiduuuchu ya kodi, yaani Tshs 1,900 kwa mwezi...
Kila Mfanyakazi apata ahueni ya TShs 1,900 kwa mwezi ambayo ni sawa na TShs 63 kwa siku.
Nafuu ya Kodi
Nafuu ya Kodi
Mwaka wa Fedha 2013/2014
Mwaka wa Fedha 2014/2015
Kwa Mwezi
Kwa siku
Mshahara
750,000
Mshahara...
Hali ya uchumi wa Mtanzania wa kijijini ni duni sana, ukiwa mjini mzunguko wa pesa walau upo, unaweza kufanya biashara yeyote Dar ukatoka kimaisha, ukikata majani ukayarundika barabarani utapata mnunuzi, watu wanatajirika kwa kuuza maji, ndio maana asilimia kubwa ya vijana wa vijijini wanaona ni...
Biblia Takatifu katika kitabu cha Mathayo 10:28 inasema "Usiwaogope wao wawezao kuua mwili wako; lakini hawawezi kuua roho yako. Muogope Mungu pekee awezaye kuangamiza roho na mwili katika jehanamu. In English "Don't be afraid of those who want to kill your body; they cannot touch your soul...
Huyu dada, juliana shonza pale chuo kikuu mlimani alikuwa mlokole na mwanachama wa casfeta tayomi, shetani amemuangusha dhambini na sasa anamtumikia ibilisi kuikandamiza haki ya mtanzania. Amekuwa kama yuda iskariaote, aliyemuuza yesu kristo kwa vipande thelathini, leo hii ameiuza haki ya...
Baada ya kuona asilimia kubwa ya wanajamvi wamejikita kwenye mipasho zaidi, nimeona nilete uzi huu mezani ili tujadili ni kwa jinsi gani hii barabara ya muhimu hapa jijini inaweza kuboreshwa ili walau walipa kodi wapate nafuu hasa ukichukulia kuwa magari kadha wa kadha yamekuwa yaking'oka...
Kwa wakristo, refer kitabu cha Hagai 2:8 ‘Fedha ni yangu, na dhahabu ni yangu,' asema Yehova wa majeshi. Kuhusu habari ya Yesu kuwajibu Mafarisayo na Makuhani alipoulizwa kwa habari ya fedha, ikumbukwe kuwa hapo walikuwa wakimtega Yesu kama ni halali kulipa kodi ama la, na Yesu akajibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.