Niliathiriwa na upigaji nyeto na nashukur ushaur wenu nimeufanyia kazi,napiga mzigo kama zamani.size ya machin imerudi kwenye hali yake(ilikuw ndogo baada ya kuathirika na nyeto).tatizo nililonalo ni maumiv ya mgongo,sasa naomba nijuzwe kuhusu aya maumiv ni kutokana na nyeto ile ile au dalili za...
Nina mdogo wangu anataka kusoma iyo kitu.so kama kuna mdau anaifahamu ii kozi.market yake na maeneo gani haswa anawez akafanyia kazi.Natanguliza shukrani
Je mwl anaweza kutoka Tgts D mpaka Tgts H1 kama ameongeza elimu(master) bila kupitia ngazi zingine za mishahara?eg uyo mwl kaajiliwa mwaka uu na mwaka uu akaanza master.
Mwl(degree holder) alie ajiriwa mwaka uu na akaanza master mwaka uu.baada ya kumaliza master,je anaweza kupanda mshahara kutoka TGTS D to TGTS H1 moja kwa moja bila kupitia ngazi zingine za msharaha?Thanx in advance
Kwa upande wangu naona yafuatayo yafanyike:1-mitaala yenye kueleweka.2-mwisho kwenda ualimu grade A iwe div three.3-kuwe na pre-form 1 kwa one yr kuwaandaa wanafunz kuingia kidato cha 1.4-lifestyle za wazaz na wanafunz zibadilike i.e wazaz wajue wajibu wao na wanafunz wajue kwa nin wanasoma na...
Habari zenu wadau!naomba kujuzwa,inawezekana kubadilisha wizara bila kuacha kazi eg ulikuwa teacher later on ukasomea kilimo.Is it possible ukashift from wizara ya elimu kwenda wizara ya kilimo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.