nikweli mkuu hongera kwa kuling'amua hilo.ukweli ni kuwa zitto ndio atakuwa kiongozi mkuu wa chama (supreme leader) na sio mwenyekiti wa chama kama zilivyo katiba za vyama vingine.
ni kweli kabisa mkuu ukiisoma kwa makini barua yake anajikanganya sana.ukweli wa mambo yeye kafukuzwa na chama , na ameamua kuridhia maamuzi ya chama kwa kutokwenda mahakamani tena kukata rufaa ili arudishiwe uanachama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.