Wakuu, heshima zenu.
Nina tatizo la kuuma mgongo kabla na baada ya kupata HEDHI. nina mwaka wa 2 na hili tatizo na sijawahi kwenda hospitali kwa kujua kwamba ni kawaida. Sasa naona ninakoelekea ni kubaya zaidi.
Nina mtoto wa miaka 13.
Mlawi.
Kila mara ninapoangalia movie huwa najifunza mambo mengi. Kwa hii movie waliowahi kuiona,wake/waume, GF/BF/Nyumba ndogo etc inatufundisha nini?
Muwe na siku njema.
Mlawi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.