Airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kila kukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kiduka kingine. Mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo...
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheza nikamwambia niambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.