Kimeta,
Nitakushangaza kuwa hapa Arusha nimetumia king'amuzi cha StarTimes kwa mwezi mmoja sasa na its perfect, hakina tatizo kabisa (isipokuwa tuu ITV na EATV zaonekana picha bila sauti)
Otherwise kipo poa, hakuna scratch hata kidogo.
Asante sana mheshimiwa.
Nimeona taarifa ya StarTimes kuhusu kuondolewa kwa Star TV, ila sasa naona sina cha kufanya hapo ingawa kuna vipindi nitavimiss sana. Siwezi kununua ving'amuzi viwili, so basi tena. Wewe utafanyaje?
Habari zenu?
Naomba mnielekeze namna ya kununua voucher ya StarTimes kwa MPESA. (Nimejaribu ku-search thread nyingine hapa sijaona)
Pale ninapoambiwa niingize namba ya account, hivi namba ya account ni ipi?
-Ina digits ngapi?
-Je, ni zile zilizo katika barcodes mbili?
-Je ni ile...
Amani kwenu wote.
Ninakerwa sana na tatizo la kuwa na mba kwa kiasi kikubwa kwenye nywele za kichwani. Hii ni tangu nikiwa mtoto mdogo. Nimejaribu njia mbalimbali bila mafanikio;
Nimejaribu dawa mbalimbali, kuna zile dawa za cream/za kupaka kama vile Candisdat na nyinginezo
Nimejaribu dawa...
Ndugu, vipi kama ukijaribu ku-copy contents za hiyo DVD kwenye computer yako, ikikubali ku-copy una-burn upya kwenye DVD mpya.
La kujifunza: Kama unamaanisha kufanya hiyo kama biashara/ajira, uwe na library yako ambamo kila kazi ya mteja wako utakuwa unatengeneza copy yako na kubaki nayo ili...
Amani iwe nanyi.
Kama kuna mtaalamu wa mambo ya TV naomba ushauri wake tafadhali:
Nimenunua decoder ya TING, nimeunga kwenye TV yangu kinaonesha black&white tuu, hakuna rangi kabisa.
Nimejaribu kuunga decoder hiyo kwenye tv ya mtu mwingine, kimeonesha vizuri (colors)
Nimejaribu decoder ya...
Amani kwenu!
Rafiki yangu kanipigia, anasema mdogo wake haonekani alipokwenda, akipigiwa simu anapokea mtu mwingine na anajibu vibaya. Kaniambia nijaribu kuona kama naweza kujua location ya hiyo namba (at least kujua anatumia mnara upi wa mtandao na upo wapi), taarifa kama hizo.
Naomba kama kuna...
Bazazi, kwa base ya taarifa uliyotoa, nimewataarifu TAMWA,LHRC,TNGP na WLAC, nadhani kama wanatimiza wajibu wao labda watafuatilia.
Na kama ulivyosema, hii ndio faida ya JF. Mungu akubariki kwa kupaza sauti yako.
Habari yako?
Pole kwa changamoto hiyo iliyokupata kwa huyo mtumishi wa Mungu.
Kwanza, napenda uelewe kuwa hata watumishi wa Mungu katika uanadamu wao wanaweza kuanguka, kwa maana ya kujaribiwa na kutenda uovu kama anavyonia huyo mchg. Sitaki kuzungumzia juu ya uhalisi wa utumishi wake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.