Mhe Zitto kajitaja jina na ww jitaje basi maana hakuna mbunge anaitwa Mwongozowaspika,pili mimi nina wasiwasi utakuwa ni mwandishi wa Mtanzania au Jambo leo?Sasa kama alitoka nje na kuwaambia they think small kwa nini walikasirika?Kumbe hizo hela mnazitumia majimboni maana mnalalamika ya kuwa...
Naomba kupata ufafanuzi kidogo wanaJF hivi ni kweli hakuna Mwanasheria mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?Na kama ndio mbona twaogopa kutaja Tanganyika?Ni kweli hatuna Serikali ya Tanganyika?Kama ni hivyo mbona Tundu Lissu alipingwa sana alipoleta hili suala bungeni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.