Kuna jambo moja la kuwekana sawa hapa. Motive ya kuuawa Kamanda Barlow bado haijulikani kwa uhakika. Hoja ya MMM imejengeka kwenye assumption kwamba motive ya kifo chake ni chuki za raia dhidi ya polisi, au chuki za wahalifu dhidi ya polisi. Sijui MMM amejiridhisha vipi na kudhani hivyo ...
Kuna jambo moja la kuwekana sawa hapa. Motive ya kuuawa Kamanda Barlow bado haijulikani kwa uhakika. Hoja ya MMM imejengeka kwenye assumption kwamba motive ya kifo chake ni chuki za raia dhidi ya polisi, au chuki za wahalifu dhidi ya polisi. Sijui MMM amejiridhisha vipi hadi kudhani hivyo ...
Kuna jambo moja la kuwekana sawa hapa. Motive ya kuuawa Kamanda Barlow bado haijulikani kwa uhakika. Hoja ya MMM imejengeka kwenye assumption kwamba motive ya kifo chake ni chuki za raia dhidi ya polisi, au chuki za wahalifu dhidi ya polisi. Sijui MMM amejiridhisha vipi na kudhani hivyo ...
Nikuelimishe kidogo. Majibu ya swali hilo siyo hayo mawili tu (NDIYO na HAPANA). Ni kweli - hayo ndiyo muhimu zaidi, lakini pia yapo majibu mengine kama: SIJUI, au mwingine anakujibu INATEGEMEA, n.k. Asilimia moja (1%) iliyobaki inawasilisha majibu kama hayo
Nadhani KP ametumia neno 'MGOMO' kwa maana pana zaidi ya mgomo wa madaktari unaoendelea (-na ndio maana ameliwekea neno hilo alama za '.......'). Nahisi alimaanisha mambo mengi - mgomo wa wabunge wa CCM kukutana na JK, migomo mingine inayonukia ya waalimu, n.k, pamoja na matatizo mengine mengi...
Alichosema Lowasa juzi kule Monduli kilipewa uzito mkubwa sana na vyombo vya habari. Sina tatizo na hilo, ni sawa -lengo lilikuwa wananchi wafahamishwe Mheshimiwa ana kitu gani cha kuwaambia Watz baada ya yote yanayosemwa kuhusu yeye. What about this other side of the coin. Uchambuzi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.