Pole sana kijana ndio maisha hayo na mapito yake so hauna jinsi kuvumilia katika gurudumu hili la maisha. Piga kazi Mungu atakupatia anaye fanana na wewe.
Hapo hakuna wakulaumiwa kwani kila mwanadamu anahaki ya kupenda ila chamsingi ni kuangalia unapenda wapi na kwamadhumuni gani. Na serikali uamuzi wake ni sahihi kwani kila kilichofanyika ni haki kwa sababu kuna kanuni na taratibu pamoja na mipaka ya kuzingatiwa katika utendaji wa majukumu ya...
Hi naona itapunguza matumizi yamadawa kwa wadada wanaotumia. Maana kiukweli inakera hasa wale wapendao kuvaa skin tight huwachora kama walivyozaliwa. By SOSPERLEVISON
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.