Miaka ya nyuma nilikua nafanya kazi kampuni flani ambapo mimi nilikua na Nafasi ya uongozi.Nilikua na mahusiano na dada mmoja kiumri yeye alinizid almost 4 years yeye alikua kibarua cha ufagiaji na kukata nyasi eneo la office.Baadae niliamua kumtafutia nafasi nae akawa mwajiriwa nikamtafutia...
Miaka ya nyuma nilikua nafanya kazi kampuni flani ambapo mimi nilikua na Nafasi ya uongozi.
Nilikua na mahusiano na dada mmoja kiumri yeye alinizid almost 4 years yeye alikua kibarua cha ufagiaji na kukata nyasi eneo la office
.Baadae niliamua kumtafutia nafasi nae akawa mwajiriwa nikamtafutia...
Juzi kati nimeamka zangu asubuhi na mapema kutoka zangu nje nikamkuta Demu nyumba ya jirani anafagia uwanja full mauasafi ikanibid nimpe hai japo sikuwa na mazoea nae kabisa.
Nikamwambia"mambo' akanijibu poa nikamtania "best sijalala usiku mzima yaani nina ukame balaaa "akacheka akaniambia...
Binafsi ninaitaji kufanya biashara ya nguo za mtumba quality kabisa hasa za kina dada,mama na watoto nina mtaji wa Milion 2 ila Sina uzoefu wowote pia sijawahi kuifanya Naombeni muongozo wadau vip vya kuzingatia na njia gani za kupitia naimani kuna magwiji humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.