Tulipo mkosa Jaji Benard Luanda nikajua mfumo wetu wa kuamini watu wa kusimamia haki kwa hakika ni sanaa tu.
Toka kipindi cha Jakaya, huyu Jaji alikuwa anakwepwa kama ukoma.
Ni vile hakuwa mtu wa kupindisha pindisha mambo.
Ukipewa dhamana itendee vema hata kama watakubadirisha ndani ya siku...
Kumbuka wale sio wabunge wa kupigiwa kura.
Wabunge wa kuteuliwa wanaenda pale kwa mapendekezo ya chama.
Sasa hawa chama kupitia vikao halali vimekataa kuwahi kupeleka majina.
Hatua zaidi ikachukuliwa kuwavua uanachama.
Utawala bora, bunge lingeandika barua kwa chama kupata uthibitisho.
Lakin...
Kama tunakatiba inayompa rais afanye atakalo sasa mnalalamika nini.
Kipindi cha mzee Magu ilikuwa hivi hivi anagawa hovyo hela.
Anaamua analoona linafaa hata kama ni kinyume na sheria za nchi ama ustaarabu wetu.
Tuache kulaumu mtu,tupambane tuwe na katiba ifaayo dhidi ya yeyote yule.
Unataka kuonesha nini?
Hawa kwanza watakuwa wamezitia hasara hata baadhi ya benk kwa kuchukua mikopo na kushindwa kulipa.
Wamefanya hata mradi uwe na ujanja ujanja mwingi huku ukiwapa kero wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.