Nyumba ya kisasa ina vyumba vinne master jiko, siting room, dining umeme na maji ipo bararani njia ya kwenda kiwanda cha plastiki Vikindu madafu ina eneo kubwa limebaki unaweza kupiga simu namba 0712231000 na 0788442375
Nauza Bajaji tvs shilingi milioni mbili na laki nne(2,4000,000) na pikipiki boxer laki tisa tu (900,000) kwa maelezo zaidi kama umepungukiwa au kuziona namba ni 0655634017 vyote vipo mbagala Dar
Kiwanja kimepimwa kipo kimbiji kigamboni kipo sehemu nzuri karibu na mji WA evic town bei ni milioni kumi mawasiliano 0655634017 kwenye hiyo ramani kiwanja namba 244
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tangazo linavyojieleza naomba nifahamu jinsi ya kusafirisha samaki kwenda Omani bei jinsi ya kuwahifadhi na usafiri hasa kwa njia ya ndege
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Kama tangazo linavyojieleza naomba nifahamu jinsi ya kusafirisha samaki kwenda Omani bei jinsi ya kuwahifadhi na usafiri hasa kwa njia ya ndege
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.