JF nayo sijui imekuwaje??,Daktari ansema sio sumu ninyi mwasema kalishwa sumu.Naomba madakatri wa kutibu watusaidie kwamba sumu ya kutegewa inaua mara moja tu au inaweza kukaa mwilini kwa muda gani??,coz najua sumu za vyakula vya kemikali ndo zinakaa mwilini kwa muda mrefu lakini y akulishwa ni...
Tuache Ushabiki wa vyama wanaJF,Mie nampenda Dk lakini kwa hili kakosea wadau.Kama alikuwa hataki kwa sababu za Mbwembwe za TBC1 basi angewambia siji lakini kama alikiri kuwa atakuja na akapotea then its a bad sign.
Wote tunajua wanambania Lakini asifanye usera kuahidi atakuja halafu asiende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.