Kwa mahitaji yako ya vifaa vya kielektroniki halisi vya mtumba toka uk kama computers (desktops na laptops) simu za mkononi, printers, tvs,wasiliana nasi.
Pia kwa mahitaji ya software ya aina yoyote wasiliana nasi. Kwa mahitaji ya kutengeneza computers, kutengeneza na kuflash simu, kudesign...
BlackBerry Bold 9700 at&t unlocked used in us,in good condition for sale @ 300,000/=.
Ina uwezo wa kutumia internet bila ya kuwa na blackberry data plan. Ina applications nyingi kama facebook, ebuddy, nimbuzz, gmail, yahoo etc.
Kwa anayehitaji ani pm.
NB:simu ipo dodoma
naitwa Joel,nina umri wa miaka 32,nimejiajiri mwenyewe,nina urefu wa futi 6 na mwili wa kawaida,rangi ni mweusi.mkristo.mengineyo tutafahamishana baadaye.
wadau wa jf kuna nyumba nzuri ya vyumba 3, choo, bafu, jiko, store, dinning room, sitting room na eneo kubwa tu la uwanja inauzwa. Umeme na maji vipo.
Ipo kimara mwisho - ghorofani nyuma ya makaburi - njia ya kwenda bonyokwa.
Nyumba inauzwa mil 25. Ina vyumba 3, choo na bafu, store, kitchen, dinning, sitting na eneo nje kubwa hata la kujenga nyumba nyingine.
Nyumba ipo kimara mwisho ghorofani (barabara inayoelekea bonyokwa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.