Habari wana JF naomba kujua viwango vya mishahara katika salary scales zifuatazo:
{1}TGS A
{2}TGS B
{3}TGS C
{4}TGS D
Angalau izo tu .Naomba anayejua aninidadavulie plz
Kuna jamaa mmoja kaikoleza kichizi bangi si ikamtuma avue nguo zote na akaenda kwenye kioo kujitazama akajiona kama kavaa suti akatoka kama alivyo mpaka kwa masela wake kwa kujidai kweli kweli,akawauliza vipi mnaonaje suti yangu imenikaa eeh,mvuta bangi mmoja akajibu "mwanangu suti imekukaa...
Ni mwaka mmoja sasa tangu tuhitarifiane na mpenzi wangu wa awali ,sababu ya mimi na yeye kukwaruzana na kuachana ni pale nilipohitaji kujua ukweli wa jambo fulani baada ya kulisikia,lakini matokeo yake akaamua kunitext kwamba nimuache aendelee na masomo yake na she will not care about what I...
Wana JF naomba kujua utofauti baina ya Partial transcript and Full Transcript nasema ivyo kwasababu kwenye vacancies nyingi wanazotangaza
unakuta wanasema partial Transcript are not allowed only Full transcript are allowed,na kiukweli nahitaji kujua utofauti uliopo baina ya viwili ivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.