Ww muraa unaniabisha sasa,,,kwani akienda huko ustawi wa jamii watakufanyaje???kama una evidence zote acha aaende tuuu.
Ila mwishowe ataambulia laki moja tu.
Acheni masuala ya kumkatisha tamaa mtoa post kila mtu ana imani yake moyoni/nafsini.kama kuna anayejua amwelekeze kwa DM.
Masuala ya kuanza kumwelekeza akaabudu wapi sio amri yenu.
Wengine mmetoka kwa waganga hivi juzi tu humu ila mnajidai hamfanyi.
Unajua muda mwingine sie wanaume tuna akili za mende,,,,yaani mwanamke/demu wako anapost kwenye dp anamsifia msela alafu unakuja kuomba ushauri,,,wa nini???https://jamii.app/JFUserGuide u
Mwenyezi Mungu amsimamie katika hili...ukipona mh Tundu Lissu rudi Nchini kwako haraka,,na sio kuzunguka huku na huko kumkashifu Mh Rais na kutuhumu vyombo vya dola.
Acha ukabila ww,,umeandika kinazi sana..mengi uliyoongelea kuhusu Dr Kebwe Stephen ni habari za kuokoteza kwenye vijiwe vya kahawa hapo Mugumu,serengeti.
Siwezi kukujibu kwa matusi,,,,lakini yote uliyosema kunahalalisha Tundu Lissu kumkashifu na kumdharau Rais wa Jamhuri,,,mzee Nchi yetu bado changa sana ,tuijenge kwa umoja na tuwapinge wote wanaotaka kuturudisha nyuma.
Alipigwa risasi na watu wasiojulikana na sio vyombo vya dola,tukio lake...
Rafiki yangu,hakuna sheria kandamizi hapa Nchini inayokataza viongozi kusemwa kwa sababu hii ni Nchi huru na ya kidemokrasia,,lakini kusemwa kwenyewe kuwe kwa staha na nidhamu na sio kashfa na dharau.
Andika kama una maarifa kichwani,,,mhemuko na matusi ya nini??au una chembechembe ya U tundu Lissu,,utetezi gani anaotoa??nani amenufaika na yote aliyoyasema??kumkashifu Rais ndio utetezi??ama kutuhumu na kudhalalisha vyombo vya dola ndio utetezi??
Mwambieni arudi Nchini aendelee na kuwasemea...
Joseph Sokoine,,,hajafukuzwa ubalozi,bali alifanyiwa mabadiliko ambayo ni kawaida katika utendaji wa serikali.
Na hadi sasa kama sijakosea ni katibu mkuu wizara(sijaipata vizuri)
Tigha uwe!!!!na wewe mura mzima unaungana na TL???hizo kashfa anazotoa Kwa Mkuu wa Nchi huzisikii???na je tuhuma za kipumbavu kwa vyombo vya dola???
Rudi jando msani hukuiva
Lowassa,,,,hahahah ofisi za CCM Tanzania zote zimejengwa kwa nguvu za chama kwa kushirikiana na wanaccm....hivi ruzuku mnayopewa matumizi yake ni yapi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.