SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Nane imeamua kufanya Mapinduzi ya kiuchumi kwa kuendeleza Uchumi wa Buluu na kuweka mkazo katika kuziimarisha sekta za huduma, ikiwemo sekta ya utalii, ambayo ni muhimili mkuu wa uchumi wa Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Tundu Antiphas Lissu amesifu zoezi zima la upigaji kura lilivyoenda muda mfupi baada ya kupiga kura majira ya Saa 8 na nusu mchana kwenye Kituo cha Kijiji cha Mtewa Kilichopo kata ya Ntutu Wilayani Ikungi, Singida.
Tundu Lissu...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amefika hospitali ya Micheweni kwa ajili ya kuwapa pole wanachama wa CCM waliovamiwa na kupigwa huko katika kijiji cha Kwale, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Rais Dk. Shein alifika Hospitalini hapo...
Na Bwanku M Bwanku
Kama tulivyoona kwenye sehemu yetu ya kwanza ya kuichambua Ilani ya CCM kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 ili kila Mtanzania aweze kuielewa na kuifahamu Ilani hii ya Chama tawala hata kwa ambaye hana uwezo wa kuipata. Sehemu yetu ya kwanza tuliangalia kwa mapana...
Na; Makame Ali Makame
11/10/2020
Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi amebainisha mara kadhaa dhamira yake ya kulinda na kuheshimu Katiba yetu kama Mkataba maalum baina yake na wananchi wote. Ukifuatilia kwa makini kampeni za Dr. Hussein Mwinyi utabaini kwamba yeye ni mgombea mwenye staili ya pekee...
Jana Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Zuberi Kabwe, alipata ajali mbaya ya gari baada ya gari la Mgombea Ubunge kuigonga gari yake kwa nyuma. Mungu ni mwema, Zitto pamoja na majeruhi wengine wanaendelea vizuri.
Kwa kweli kama isingekuwa uwepo wa madereva bodaboda na...
KIKAO CHA KAMATI YA MAADILI YA MAWAKILI KILICHOKAA LEO TAREHE 23/9/2020. KIMEMKUTA NA HATIA YA KUKIUKA MAADILI KWA KIWANGO CHA JUU, WAKILI @fatma_karume (ROLL 848) NA HIVYO KUAMURU JINA LAKE LIONDOLEWA (PARMANENT. REMOVAL) KATIKA ORODHA YA MAWAKILI TANGANYIKA
BILIONEA LAIZER AKIKABIDHI JIWE JINGINE KWA SERIKALI Jiwe la madini ya #Tanzanite la mchimbaji mdogo Saniniu Laizer lenye uzito wa kilogramu 6.33 ambalo amelikabidhi kwa serikalini leo na kupokea fedha zake taslimu Shilingi za kitanzania takribani Bilioni 4
Habari kutoka chanzo cha kuaminika zimethibitisha kuwa LAZARO NYALANDU anaongoza katika kura za maoni.
Mmoja kati ya wanaomuunga mkono NYALANDU amesikika akisema kuwa:-
"Mzee NYALANDU anaongoza lakini Baadhi ya viongozi wa juu wa chama chetu wanahaha kupora kura zake ili tu asiwe mshindi...
Na Thadei Ole Mushi.
Miaka ya 1776 Jasusi wa Kimarekani William Carmichael alitumwa na Taifa lake kwenda kutafiti na kujua ni kwa namna gani USA inaweza kuteka soko la Tumbaku Duniani ambalo lilikuwa limeshikiliwa na bara Ulaya. Kipindi hicho Ukraine ilikuwa ikizalisha tumbaku Bora kabisa na...
Askofu Mkuu TAG Dr. Barnabas Mtokambali aliwahi kuhubiri akisema neno USIOGOPE limetajwa kwenye Biblia mara 366. Maana yake kila siku unatakiwa uiambie nafsi yako USIOGOPE.
Rais Wa JMT Mhe. Dr. John Pombe Magufuli aliwahi kutuambia kwenye moja ya hotuba zake HOFU inaweza kuuwa haraka kuliko...
Msimamo wa Rais Magufuli wa Tanzania kuwataka watu wake kufanya kazi huku wakichukua tahadhari za maambukizi ya virusi vya Corona, ulibezwa na kukashifiwa huku baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vikiuita msimamo huo eti ni 'ukaidi' wa kuiga maamuzi yaliyochukuliwa na ulimwengu mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.