Jana taarifa ya CAG iliwasilishwa bungeni Kama sheria inavyotaka!
Kabla taarifa hiyo haijawasilishwa kila mtu anajua Barça(bunge) liliamua kuvunja mkataba na mchezaji wake mahiri Messi (CAG).
Kwa miaka mingi uwepo wa Messi (CAG) uliwang'arisha wachezaji wengi wa Barça(bunge) kutokana na pasi...
*Sare ya Simba lawama kwa Serikali,*
kitendo cha kufungia uwanja kimetuathiri sana, siku zote ili kummaliza adui tunahitaji muda mrefu wa maandalizi ikiwemo kamati zetu kuweka miundombinu vizuri pale uwanjani.
kwa mechi hii ilikua vigumu sababu uwanja ulikua tayari mikononi mwa serikali...
Tumeangalia mechi ya Al Alhy na Simba huku wachezaji wazawa watatu tu Aishi Manula, Jonas Mkude na Rashid Juma wakipata nafasi ya kuanza wengine waliobaki ni hawa tunaowaita wa kimataifa, kwa muda mrefu tuliamini tunafungwa na timu za wenzetu sababu ya kukosa wachezaji wa kimataifa wakusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.