Search results

  1. Marwa Mbusiro

    Bora Elimu: Kwa njaa ya masaa 20, mtoto atafundishika darasani?

    Mtoto anakula usiku saa 2 analala, asubuhi anawahi shule saa 1 anakaa shuleni hapo hadi saa 10 alasiri bila kula, kwa njaa hiyo ya masaa 20, atafundishika? Inaumiza Mwalimu anafundisha mtoto mwenye njaa anayesinzia darasani huku akijua mtoto huyo hamwelewi badala yake anaugulia njaa.
Back
Top Bottom