Thanks mkuu,ndoto yangu kuu ni kujiajiri kupitia kilimo cha kisasa na ufugaji lakini kwa kuanzia nijiajiri kwanza kwenye ushereheshaji na zaidi nichape kitabu changu.
Ni sahihi unachosema mkuu,kuna vijiji vingine kweli si haba unaweza fanya chochote cha kupunguza vitu lakini kiukweli hiki kijiji nilichopo is totally unproductive,ningekuwa mjini hata tuition ningegonga sana.
Miaka 30 ni umri wangu na nipi kwenye hii kazi ya ualimu kwa miaka 9 sasa.Lakini ndoto zangu zote nilizoziwaza za kimaendeleo hata robo hazijatimia zaidi ya kufanikiwa kuanzisha familia ambapo mpaka sasa nina mke na watoto wawili.
Ingawa kuna factors nyingi zinazonivuta nisifikie ndoto zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.