Sio uongozi tu hata kama ni kazini wenye akili na uzalendo wakitaka kufanya kazi kwa bidii watapigwa majungu hadi waonekane takataka na wajinga Kati ya watu wavivu, wala rushwa, upigaji na wachumia tumbo
Tatizo kubwa ni woga wa maisha,, unakuta huyu mwalimu ndio ana msululu wa watu wanaomtegemea,,,, kwa muda atakaokua kaacha kazi je ataishije,,, sasa yale mawazo ya kuwa je atatoboa nje ya ajira lazima yampe woga
Mpwayungu mi nadhani ungekuja na njia nzuri ya kuwasaidia hawa walimu, mtu anafundisha mfano kiswahili /geography/ civics na mshahara wenyewe ndio huo sasa unasema wewe unaweka mafuta siku 3
Mpe mbinu basi ajikomboe vipi kwa hiko kimshahara ina maana hata mtaji wa kufanya mishe nyingine haupo hapo
Mbaya zaidi kama ulikuwa na nyodo kwa wafanyakazi wenzio kisa kutoka na boss kazini utapaona pachungu au kama wote walikuwa wanajua wewe ndio chakula ya boss halafu anaolewa mwingine hayo ni maumivu mengine tena
Uzi mzuri sana huu natamani kama watanzania wengi wangeuona sema ndio hivyo tunaona wachache tu tuliopo jf,,, hongera mkuu inaonesha wewe ni mzalendo na una uchungu na mapuuza yanayoendelea hapa nchi ya giza
Hao unaosema wanakuja kutoka mataifa mengine, kwa umeme wetu huu wa mchongo wakirudi kwao unadhani tuna sifa gani huko? pamoja na hayo maroyal tour yenu si kazi bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.