Hakuna jambo lisilo na changamoto.....kila kitu kinachangamoto zake, huwezi kujua changamoto kama haujafanya!!! Hili ni bonge la idea.......umesaidia MTU kuwa na mwanzo wa kuanzia.
Kuna Sasso, Malawi, na kloiler hao sasso ni wazuri kwa kukua haraka sana Ila kwenye utagaji siyo wazuri kivile na kloiler kwenye ukuaji siyo wazur kivile Ila wanataga mayai vizuri na mazuri. Chagua hapo ila nakushauri chukua kloiler
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.