Kila nchi ina mifumo yake ya kijeshi kulingana na geography ya nchi yao ilivyo kwaiyo jeshi linaundwa kulingana na udhaifu na uimara wa mazingira yao yalivyoo sisi TZ askari wengi lazima wapate mafunzo ya infantry na ndiyo msingi wa jeshi letu ulivyo kulingana na geografia ya nchi ilivyoo then...
Hii ni kujifariji kusema kuwa mashambulizi yalikuwa weak kiuhalisia USA,UK, na France wametoa support kubwa sana na yote sabbabu mashambulizi yametoka mbali imekuwa rahisi kujipanga kuyakabili ila naamini kabisa vita vikianza mashambulizi yataanzia karibu Iraq Syria na Lebanon
Sikuzote wanaume wanaorukaruka sana na wanawake wengi mwisho wao hutumbukia kwenye ndoa na wanawake wa hovyo sana
Apo ulipoingia ni huruma ya Mungu ndyo ikuondoe ila kwa akili yako naona ushakwama.
Ogopa uongo wa mwanamke kuwa baba mtoto amenitelekeza mbele ya safari yenu wataanza kuwasiliana...
Uyoo mtoto ulimzaa wewe hadi umtafute au una asilimia ngapi kuwa mtto ni damu yako ivi wanaume wengine mmechanganyikiwa au mbona vijna wa sikuizi mmekuwa legelege sana mtoto hujamza alafu unatishiwa nyau na mwenye mtoto
Utoto raha sana na uyoo broo uliyeenda naye kwa docta wote vichaa kqbisa kwa ushauri ukija kuowa mwache mwanamke afate hatua zako siyo wewe kumlazimisha kuzifata hutajutia maisha yako yote
Hiii picha ina ukakasi sana askari wengi wa urusi wanafungaga vitambaa vyekundu au vyeupe mguuni au kwenye mkono lkn hakuna ata mmoja mwenye kitambaa ichoo
Naona umefufuka hahahga ila izi taarifa zipo toka majuzi mji wa adviinka ulivyoangua kwanza walianza na taafira ya kuangusha ndege nne za urusi Leo wamekuja na taarifa izi naona yote ni kuwapa wapiganaji wao ari mpya ya kupigana na kuwaondolea akilini kile walichofanyiwa na viongozi wa juu...
Mtoa taarifa umeitoa taafira kiubinafsi Sana ila siyo mbaya ila kumbuka mafanikio ya China kwenye nyanja zote za kiuchumi,kiteknolojia yanaishtua sana Marekani si ivyo tu China na japani wapo mbali sana kwenye tafiti za bullet train na si miaka mingi wataanza kuileta kwenye matumizi ya kijamii
Binadamu ni wanafki sana kaka Trumb amepewa mikesi kibao toka aseme anagombea uraisi kwa Mara ya pili ila watu kwa unafki wanalaumu tu urusi kinachotokea saivi Hungary ni sawa na kuuchochea serikali iliyomadarakani ing'olewe kupitia mgongo wa EU
Kila nchi ina Sera zake ni kama Leo hii marekani...
Huruma kwako ni kuwa bado hujaonja sana utamu na uchungu wa mapenzi na ndyo udhaifu anaoutumia kwako
Mungu akusaidie usirudi kwake majuto yake yatakuwa makubwa sana
Ilikuwa kosa kubwa kwa Israeli kuingiza jesh nsdani ya Gaza yanayotokea saivi ni maajabu kwa udogo wa eneo LA Gaza na uwezo wa jeshi la Israeli pamoja na washirika wake imekuwa jambo LA kushangaza sana kuwa bdo hawajawatoa hamas mashimoni
Acha zako makanisa yote yamekuwa kama sehemu ya wizi, waumini wamejitaidi sana kufungua vitega uchumi vya kanisa, makanisa saivi yanamiradi mingi sana ila bdo yanazidi kutaka zaidi na zaidi kutoka kwa waumini bora iyoo pesa apeleke kwa yatima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.